Jumanne, 7 Oktoba 2014

SAFU YA MILIMA YA UDZUNGWA


Moja ya manzari nzuri yenye kuvutia katika ardhi ya Tanzania ni kuwepo safu ya milima ya Udzungwa ambayo kimsingi milima hiyo imekuwepo hapo tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwenguni .

kinachoshangaza zaidi ni ile hali ya safu kujipanga vizuri tangu mwanzo wa mkoa wa Morogoro mpaka mkoani Iringa.

 Milima ya Udzungwa imepambwa na uoto wa kijani wenye kuvutia mno  na safu za miti zilizojipamba kiajabu mno kuzunguka karibu sehemu kubwa ya wilaya ya Ifakara na maeneo ya kidatu katika mkoa wa  Morogoro.

Safu ya milima ya Udzungwa pia wanapatikana wanyama wadogo wadogo kama vile nyani sokwe tumbili mbweha  na wanyama wengine .Na hivyo kuendelea kupendezesha mandhari na kuvutia watalii wa ndani nan je ya nchi.

Ni vema kila mdau wa mazingira akafahamu namna ya  kuyatunza na kuenzi  mazingira yaliyo mzunguka lengo na makusidio kwa ajili vizazi vyetu vyote.

Kutokana na maliasili zilizokuwepo kwenye nchi yetu ni vemaq tukatumia kwa ajili ya kuinua uchumi wa nchi  yetu kwani umasikini uliokithiri ni matokeo ya mabaya ya  matumizi  ya rasilimali.
zi mabaya ya matumizi ya nishati mbadakla na matumizi mengine ya kilimo mkwa ajili ya wananhi kujiongezea kipato chao katika ilim kujikimu kimaisha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni