Moja ya manzari nzuri
yenye kuvutia katika ardhi ya Tanzania ni kuwepo safu ya milima ya Udzungwa
ambayo kimsingi milima hiyo imekuwepo hapo tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwenguni .
kinachoshangaza zaidi ni ile hali ya safu kujipanga vizuri
tangu mwanzo wa mkoa wa Morogoro mpaka mkoani Iringa.
Milima ya Udzungwa
imepambwa na uoto wa kijani wenye kuvutia mno
na safu za miti zilizojipamba kiajabu mno kuzunguka karibu sehemu kubwa
ya wilaya ya Ifakara na maeneo ya kidatu katika mkoa wa Morogoro.
Safu ya milima ya Udzungwa pia wanapatikana wanyama wadogo
wadogo kama vile nyani sokwe tumbili mbweha
na wanyama wengine .Na hivyo kuendelea kupendezesha mandhari na kuvutia
watalii wa ndani nan je ya nchi.
Ni vema kila mdau wa mazingira akafahamu namna ya kuyatunza na kuenzi mazingira yaliyo mzunguka lengo na makusidio
kwa ajili vizazi vyetu vyote.
Kutokana na maliasili zilizokuwepo kwenye nchi yetu ni vemaq
tukatumia kwa ajili ya kuinua uchumi wa nchi yetu kwani umasikini uliokithiri ni matokeo ya
mabaya ya matumizi ya rasilimali.
zi mabaya ya matumizi ya nishati mbadakla na matumizi
mengine ya kilimo mkwa ajili ya wananhi kujiongezea kipato chao katika ilim
kujikimu kimaisha.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni