Ijumaa, 24 Oktoba 2014

BARAZA LABARIKI UWANJA SERENGETI

NEMC WARIDHIA UWANJA

Baraza la usimamizi na uhifadhi wa mazingira limeridhia ujenzi wa uwanja wa ndege kujengwa katika mbuga ya serengeti kutokana na kuwa na uwanja mdogo wa ndege ambao haukidhi haja ambao unapatikana kilometa kama arobaini hivi kutoka mjini serengeti kwa kuwa sehemu kubwa ya wilaya ya serengeti imebwana mbuga hii itakuwa fursa kubwa wakazi wa eneo hili kupata ajira ambao ni kilo kikubwa kwa wakazi wa wilaya ya serengeti.Lakini changamoto kubwa iliyokuwepo mbele ya jamii ni kutunza uwanja huu kwa ajili ya usafifi na italii

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni