HISTORIA FUPI YA MJI WA LUSHOTO
Lushoto ni mji mdogo uliopo kwa kimo cha mita 1930 juu ya usawa wa bahari kwenye milima ya usambara ni makao makuu ya wilaya ya lushoto.mji ulianzishwa kwea jina la wilhelmstal wajerumani wakati wa koloni ya Afrika ya mashariki jina hilo lilitolewa kwa heshima yakaisar wilhelm aliyekuwa mtawala wa ujerumani hadi mwka 1918.kuna barabara ya lami inayounganika na barabara kuu ya Arusha na dar es salaa.mazingira ya wilaya ya Lushoto ni nzuri na baridi ya wastani wenyeji wa wilaya ya Lushoto wengi wao ni wasambaa ,wazigua ,wabondei ambao hujishughulisha sana na shughuli za kilimo kuendesha maisha yao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni