Ni mrefu kwa kina
Mto wami ni mto unaopatikana kuanzia mkoa wa Morogoro umepita katika wilaya tofauti mpaka kumwaga maji yake katika wilaya ya Bagamoyo mkoa wa pwani.kutokana kuwa na mazingira mazuri wenyeji wengi ambao wanapakana na mto huu wamekuwa wanajihusisha na shughuli mbalimbali za uzalishaji kutokana na uwepo wa fursa za uzalishaji mali kutokana na uwepo wa mto huu.Mto wami pia hutumika katika shughuli za usafirishaji wa abiria na mizigo kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine ambao kimsingi mto huu ni muhim u sana kwa uzalishaji mali na usafirishaji
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni