MOJA YA MAAJABU YA JOZANI
Msitu wa jozani ni msitu unaopatikana takribani kilometa sitini kutoka katikati ya mji wa mji wa unguja ni moja ya misitu mikubwa inayopatikana katika visiwa vya bahari ya hindi humo wanapatikana kima wekundu ambao hawapatikani mahali popote pale duniani isipokuwa zanzibar pekee
kima wekundu nikivutio kikubwa katika msitu huo ambao kwa asili kima hao ni wasumbufu wa kuharibu mazao ya wenyeji wa maeneo yanayozunguka lakini ukiacha matatizo hayo msitu huo ni wenye mandhari nzuri sana na yakuvutia
lakini msitu huo umekuwa ni sehemu mkubwa ambayo watalii hutembelea na kuongeza pato la taifa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni