Mazingira ya bahari
wavuvi wa vijiji mbalimbali vya unguja hasa mikoa ya kusini wmehimizanz kutunza mazingira na kulinda hasa ya bahari na kuachana na uvuvi haramu ambao ndio chanzo kikubwa cha uharibifu wa mazingira na rasilimali za bahari.Kwani kwa kuto kutunza mazingira yetukuna athari kubwa itatokea ikiwepo upungufu wa samaki na mazalia yake na uharibifu wa matumbawe.Baadhi ya vijiji vya Marumbi na Chwaka zimepungua samaki kwa kiasi kikubwa tangu mnamo mwaka 2012 mpaka 2014.serikali ya Zanzibar imetenga maeneo tofautitofauti kwa ajili ya uvunaji wa samaki pomoja kufungua masoko ya kisasa kwa ajili uuzaji wa mazao ya samaki kisasa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni